iqna

IQNA

IQNA – Katika mkesha wa kuadhimisha Wiki ya Karamat na kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Hadhrat Masoumah (SA), sherehe ya kifakhari ya kufuta vumbi ilifanyika katika haram takatifu ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad, mnamo tarehe 28 Aprili 2025.
Habari ID: 3480613    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30

IQNA – Haram ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad, Iran, inajiandaa kwa mfululizo wa sherehe na huduma nyingi wakati wa ‘Wiki ya Karamat’, kipindi cha kusherehekea kuzaliwa kwa Imam Ridha (AS) na dada yake, Hadhrat Masoumah (SA). 
Habari ID: 3480611    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/29

IQNA – Astan Quds Razavi, yaani  Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran, immepanga mfululizo wa programu za lugha mbalimbali kwa ajili ya wafanyaziara wa kimataifa wakati wa maadhimisho ya kuzaliwa kwa Imam Ridha (AS) wa nane wa Waislamu wa madhehebu ya Shia.
Habari ID: 3480563    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/19

Mijadala ya Imam Ridha  (AS)/2
IQNA – Imam Ridha (AS) mara kwa mara alitumia aya za Qur’ani Tukufu katika mijadala yake mingi na wanazuoni wa dini nyingine, akithibitisha ukweli wa Uislamu na utume wa Mtume Muhammad (SAW) kupitia tafsiri sahihi ya aya za Qur’ani Tukufu na kuzitumia katika mambo mbalimbali. masuala.
Habari ID: 3479386    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/05

Mijadala ya Imam Ridha (AS)  (AS) /1
IQNA – Imam Ridha (AS) alifanya midahalo na wanazuoni na watu mashuhuri wa madhehebu za Kiislamu pamoja na dini nyinginezo kwenye mada tofauti na alikuwa mshindi katika midahalo yote.
Habari ID: 3479378    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/03

Harakati za Qur'ani
IQNA - Programu zenye ubunifu za Qur'ani Tukufu zinafanyika katika Haram Tukufu ya Imam Ridha (AS) huku mamilioni ya mahujaji wakiwasili Mashhad kuandaa maandamano ya maombolezo.
Habari ID: 3479375    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/03

Mwezi wa Safar
IQNA – Wafanyaziara takribani milioni 3 wanatarajiwa kutembelea mji mtakatifu wa Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran, kulingana na afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479353    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/30

Utamaduni
IQNA - Kundi la maimamu wa Swala ya Ijumaa na wanaharakati vijana wa kitamaduni kutoka Georgia walifanya ziara katika kaburi la Imam Ridha (AS) katika mji wa kaskazini mashariki mwa Iran wa Mashhad na kufanya mazungumzo na mkuu wa masuala ya kimataifa wa idara ya usimamizi wa eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3478908    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/31

Utamaduni
IQNA – Shirika la Maktaba, Majumba ya Makumbusho na Nyaraka la Haram ya Imam Ridha (AS) limetoa wito wa kuwasilishwa maombo ya kushiriki katika Tamasha la 14 la Razavi la Kitabu cha Mwaka katika mji wa kaskazini mashariki mwa Iran wa Mashhad.
Habari ID: 3478907    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/31

Ahul Bayt (AS)
IQNA - Programu za Qur'ani zitaandaliwa katika mkesha wa kumbukumbu ya kuzaliwa Imam Ridha (AS) siku ya Jumapili.
Habari ID: 3478842    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/18

Mwezi wa Ramadhani na utamaduni
IQNA - 'Hal Hilalik Ya Ramadan', ni tukio la jadi ambalo limezoeleka katika nchi nyingi za Kiarabu kwa ajili ya kukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani. Tukio hilo la kiutamaduni limeandaliwa katika haram ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran Jumatatu usiku.
Habari ID: 3478496    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/12

Wanamichezo Waislamu
TEHRAN (IQNA) - Mwanamieleka bingwa wa dunia wa Iran, Amirhossein Zare, ameweka wakfu nishani zake mbili za dhahabu alizoshinda hivi karibuni katika mashindano ya bara na dunia kwa Jumba la Makumbusho la Haram ya Imam Ridha (AS) ilyoko Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran.
Habari ID: 3477845    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/05

Ustaarabu wa Kiislamu
MASHHAD (IQNA) – Ninafumba macho yangu na mbele yangu naona Haram Takatifu (kaburi) yenye kubaa linalong’aa kwa utukufu wakati machweo yanapoingia.
Habari ID: 3477614    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/17

Mazungumzo
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Hamburg nchini Ujerumani kimeandaa mazungumzo ya dini mbalimbali siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3477081    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/02

QOM (IQNA) - Haram Takatifu (kaburi) ya Bibi Maasuma (SA) huko Qom, Iran imepambwa kwa maelfu ya maua siku ya Ijumaa kuadhimisha sherehe za Karamat.
Habari ID: 3477020    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/20

Imam Ridha AS
TEHRAN (IQNA) – Idaraya Mfawidhi wa Haram ya Imam Ridha AS katika mji wa Mashhad nchini Iran imeandaa duru ya tisa ya warsha kwa mabalozi wake ambapo duru hii imewajumuisha wanafunzi wa vyuo vikuu kutoka Madagascar.
Habari ID: 3475607    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/11

Imam Ridha AS
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Tanzania wamepata fursa ya kuipokea kwa furaha bendera ya Imam Ridha AS ambayo ilikuwa katika msafara wa kimataifa wa kuadhimisha siku ya kuzaliwa mtukufu huyo.
Habari ID: 3475372    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/13

TEHRAN (IQNA)- Leo mji mtakatifu wa Mashhad umetanda furaha katika haram ya Ali bin Musa Ridha AS iliyoko katika mji wa Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran.
Habari ID: 3475362    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/11

Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Mfawidhi Haram Takatifu ya Imam Ridha AS mjini Mashhad anasema umoja kati ya Waislamu na Wahindu ulikuwa muhimu katika kuwashinda wakoloni, na kuongeza kuwa hivi kuna njama za kupanda mbegu za ugomvi kati ya vikundi hivi vya India.
Habari ID: 3475284    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/23

TEHRAN (IQNA) Katibu Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) amelaani vikali shambulio la kigaidi lililofanywa hivi karibuni katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran na kusababisha kuuawa shahidi maulamaa wawili.
Habari ID: 3475112    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/11